Tuesday, October 3, 2017

JINSI YA KUTENGENEZA ICE CREAM/LAMBALAMBA NJOO WHATSAP 0782 065401

JINSI  YA  KUTENGENEZA   ICE CREAM/LAMBALAMBA NJOO WHATSAP 0782 065401

Tuesday, September 26, 2017

KWA ANAYEHITAJI KUTENGENEZA BLOG BEI POA 25,000 TU





HABARI ZENU WAPENDWA,
LEO NAWALETEA HABARI MPYA KABISA KWA ANAYEHITAJI KUTENGENEZEWA BLIOG KWA BEI POA KABISA.
ANICHEKI WHATSAP 0782 065401
BLOG NDIYO HABARI YA MJINI

NJOO UJIFUNZE JINSI YA KUTENGENEZA VITU MBALIMBALI

Habari zenu wapendwa?!...
ninafundisha jinsi ya kutengeneza vitu mbalimbali...
kwa Tshs 3000 darasa
1. kutengeneza kashata za nazi e.t.c
2. kutengeneza biskuti za mayai e.t.c
3. kupika karanga za mayai
4. kutengeneza mkate wa sembe
5. kutengeneza skonzi
6. lambalamba za matunda mbalimbali
7. chocolate kutengeneza
n.k
njoo whatsap 0782 065401

Monday, August 21, 2017

MKE WA MTU SUMU : AGEUZWA VIUNGO VYAKE VYA MWILI



Alilala na mke wa mtu, kwa bahati mbaya mwanamke huyo alikuwa ametegwa na mume wake pasipo kujua kama kuna tego, basi huyu jamaa kama kawaida yake akapanga miada wakutane nyumba ya kulala wageni.

Kama Wahenga walivyosema kwamba za mwizi arobaini, jamaa siku ya tukio akawa wa kwanza kufika kwenye nyumba ya wageni(Guest House) waliyopanga kukutana na mwanamke ambaye alijua fika ni mke wa mtu.

Haikupita muda yule mke wa mtu akatia timu na kufikia kwenye chumba cha mchepuko wake kwa ajili ya kuivunja amri ya sita, lakini haikupita muda kelele zikasikika kutoka kwenye chumba chao.


Zilikuwa ni kelele za yule mwanamke akitoka ndani akiwa kama alivyozaliwa akipiga mayowe, hatua iliyopelekea wahusika wa guest house kwenda kuangalia, ndipo walipokuta mgoni amegeuka viungo vyake vya mwili.

Miguu imekaa sehemu ya mikono na mikono sehemu ya miguu, walipojaribu kumhoji yule mwizi wa mke wa mtu alikuwa akilia na kutiririka jasho mithili ya mwanariadha wa mbio ndefu.

Blogu zetu baada ya kuzinyaka habari hizi ilimuendea hewani Mtaalam bingwa wa kutega mitego ya kukamata michepuko, Dokta Likata, kupitia simu yake ya kiganjani 0783 83 70 93 kutaka kujua zaidi.

Thursday, August 10, 2017

MSHIKO NJE NJE

Helping hands international (H2i) ni asasi isiyo ya kiserikali (NGO) ya kimataifa inayojihusisha na kusaidia watu wanyonge na wahitaji wengine.(Yatima,wajane, walemavu,waathirika wa madawa ya kulevya,machangudoa,nk)

Mbeba maono wa H2i ni mama Luzviminda Mac Elvis, kutoka Ufilipino ambaye naye baada ya kupitia maisha magumu sana mwanzoni kutokana na kuzaliwa katika familia duni sana kiasi cha kujikuta anasomeshwa na mtu ambaye hata hakumfahamu kabisa,jambo lililomfanya aamini kuwa licha ya matatizo anayoweza kukutana nayo binadamu yeyote akipata mkono wa msaada anaweza kutimiza ndoto zake. Imani hii ilimfanya atafakari sana juu ya watu wenye matatizo kama aliyoyapitia yeye na ikampelekea sasa kuanzisha Mpango wa kuwasaidia baada ya yeye kuwa amefanikiwa kutokana na kusaidiwa. Akiwa amehitimu masomo yake na kuajiriwa huku akikeleketwa na maono yake ya muda mrefu aliamua kurejea kwao Ufilipino na kuasisi asasi aliyoiita HELPING HANDS.

Pamoja na mambo mengine asasi hii ilijihusisha na kuwasaidia watoto wa mitaani kurejea shule,watoto yatima kuwasomesha, kuwasaidia waathirika wa madawa na machangudoa kurejea hali zao za awali na kuwasaidia kuanzisha miradi itakayowafanya wajitegemee na kuishi maisha ya kumpendeza Mungu. Kufanikisha yote haya alikuwa anafadhiriwa na kampuni ya Magari ya Hyundai.

Akiwa anaendelea na kazi zake alikutana na daktari Ramiel Policarpio,ambaye alikuwa ni daktari bingwa wa meno huko nchini Ufilipino. Naye alikuwa na maono yanayokaribiana sana na ya mama Luzviminda. Dr Ramiel alikuwa inajihusisha na kusaidia wajane,wazee na wasiojiweza katika nchi hiyo. Walipokutana wakabaini kuwa maono yao yanafanana na kwamba kwa pamoja wanaguswa na makundi yenye mahitaji maalumu. Waliamua kuunganisha nguvu na kueneza huduma zao nje ya Ufilipino. Kwa hapa na jina la asasi hii likabadilika na kuwa _Helping Hands International_ badala ya *Helping Hands* kama ilivyo kuwa awali. Wakaanza kuenea barani Asia kwa kasi sana kutokana na mguso wa huduma zao kwa jamii. Jambo hili liliwafanya wapatwe na changamoto za kifedha ili kuwasaidia watu wengi waliojitokeza kutokana na udhamini wa awali kuzidiwa kabisa.

Waliamua kutafuta suluhu kwa changamoto hii na waliamua kubuni vyanzo vya mapato ili kuinua na kuendeleza huduma hizi.

Kwanza waliomba udhamini kutoka kampuni kadhaa kubwa duniani, na kutokana na ubayana wa maono yao walipata udhamini kutoka kampuni za Apple,HP,Hyundai, Diamond Bank,GAC Motors, Glo nk(hadi Leo). Asasi pia hupata misaada kutoka kwa watu maarufu wanaotaka kusaidia watu(philanthropist) na asasi mbalimbali kama vile Bill Gates Foundation.

Pili ,waliamua kubuni chanzo kingine cha kipato kutokana na michango ya wanachama ambao nao kwa hiari yao na kuguswa na matatizo ya wanyonge na kuamua kuwa sehemu ya utilikaji wa maono haya watakaojiunga na H2i. Hapa wakaweka mchango unaofanana kwa wanachama wote dunia nzima USD 40 kwa kila mwanachama. Mchango huu unatolewa Mara moja tu kwa maisha yote ya mwanachama.

Ili kuhakikisha wanasambaa zaidi duniani na kuwafikia watu wengi zaidi walibuni mfumo wa biashara unaoweza kufanywa na wanachama wenyewe ili kuwawezesha kujiimarisha kiuchumi kuenea zaidi. Ikaingizwa dhana ya biashara ya Mtandao ya kuwafikia wanachama wapya.

Iko hivi mwanachama anapoelewa maono haya na akaona anaweza kuwa sehemu ya ukamilikaji wake atajiunga na H2i na atasajiriwa kama mwanachama na balozi wa kudumu ( maisha yake yote)na baada ya kusajiriwa naye atawashirikisha wengtano habari hizi ili nao wajiunge chini yake. Mtu mmoja ukimuunganisha utalipwa dola 8(17,600) na kwa kawaida unapaswa angalau uingize watu wawili ambao nao watafanya hivyo kila mmoja. Hauzuiwi kuingiza idadi yoyote ya watu uliyonayo hata kama ni watu 100! japo kiwango cha chini sana ni watu wawili.

Kukawekwa ngazi zitakazotumika kupima utendaji kazi wa mwanachama. Kuna ngazi tano(tutaziangalia baadaye)
ambazo zilipewa vigezo na zawadi zake mbalimbali.

Mfumo huu wa biashara ukaonekana ni bora sana na rahisi kufanya. Asasi hii ilianza kuenea kwa kasi katika mabara mengine nje na Asia na mnamo mwaka 2013 H2i iliingia Afrika kupitia daktari mmoja aitwaye Timothy Odeghe (Nigeria) ambaye alikutana na Dr. Ramiel ( mmoja wa waanzilishi) na Dr Timothy alipowashirikisha juu ya hali duni walizonazo watu wake,waanzilishi walimshirikisha katika maono hayo na akapendezwa nayo na kujiunga. Alipolifikisha wazo hilo lilipokelewa kwa haraka sana na kukua kwa kasi nchini na nje ya nchi pia. Watu wengi wamewezeshwa kufikia ndoto zao na wanaendele .

whatsap 0782 065401

Tuesday, August 8, 2017

ZIJUE FAIDA KUU 4 ZA MAFUTA YA MAJANI YA MVUJE KATIKA MWILI WA BINADAMU



ZIJUE FAIDA KUU 4 ZA MAFUTA NA MAJANI YA MVUJE KATIKA MWILI WA BINADAMU

mvuje
Mke wa Mfalme Mswati wa Swaziland Nomsa Matsebula akishika Mmea wa Mvuje na kupata maelezo yake

Mpenzi msomaji siku  ya leo nimekuletea ujumbe mzuri kutoka kwa Dokta Bingwa wa tiba asili Afrika Mashariki na kati, Suleiman Bin mzee, kuhusiana na faida kuu 4 za mafuta ya mvuje.

Anaeleza kwamba majani haya haswa yalianza kuoteshwa bara hindi na baadae yalipojulikana matumizi na matumizi na faida zake zilichukuliwa mbegu zake na kusambazwa ulimwenguni. Uzuri wa mbegu za majani ya mvuje zinaota popote pale.

FAIDA ZA MAFUTA YA MVUJE YATOKANAYO NA MAJANI YAKE

Huondoa degedege kwa watoto
Mafuta yake ni kinga dhidi ya Jinamizi
Wale wenye tatizo la kuota ndoto mbaya mpatie mafuta ya Mvuje
Maradhi ya kupooza viungo vya mwili(kupararaizi).
FAIDA NA MATUMIZI YA MAJANI YA MVUJE

KUONDOA MADOA NA CHUNUSI : Unatwanga majani yake kisha unakamulia maji ya ndimu na kuyapaka usoni inaondoa machunusi na madoa sugu usoni. Unapakaa kila siku mara 1 mpaka madoa yanapotea.

Unatwanga majani yake na kuychanganya na binzari manjano na Unapakaa usoni kwajili ya kuua chunusi usoni na kuondoa na kuziba chunusi nyingine ambazo zinakua zinataka kujotokeza.

Mchanganyiko huu haswa umewasaidia watu wengi kuua chunusi usoni na mabegani na mgongoni. Pakaa kila siku mara moja mpaka chunusi zinapotea.

KUPUNGUZA UZITO : Pia unaweza kuchukua fungu moja la majani ya mvuje na kusaga na maji katika blender na kumimina kwenye glass na unakorogea kijiko 1 cha asali kwajili ya kupunguza uzito na pia kuondoa cholesterol.

MBOGA : Ukitaka kupata unga wake unakausha majani juani mpaka yanakua makavu, kisha unayatwanga na kuyachunga na kuweka katika kopo safi na kavu. Inafaa kutumia katika michuzi na roast
By tibazetutz@gmail.com

LIPSTICK

LIPSTICK NZURI INAKUFANYA KUWA NA MUONEKANO MZURI SANA
KWA MAWASILIANO
WHATSAP 0782065401

Sunday, August 6, 2017

RANGI ZA KUCHA

RANGI ZA KUCHA
Tshs 25,000/=
Popote tunatuma
Whatsap 0782 065 401

Saturday, August 5, 2017

MWANAMKE ALIYETEMBEA NA MME WA MTU AZAA KUKU

mwanamke aliyetembea na mume wa mganga azaa kuku 



mwanamke aliyetembea na mume wa mganga azaa kuku
Mchepuko alinogewa na penzi la mume wa mtu... Akaamua kwenda kwa mganga wa jadi  ili apate limbwata kali la kupora mume wa mtu...akaambiwa apeleke kuku ili kutengeneza hilo limbwata....wakafanikiwa  kulisuka hilo limbwata... Sasa...๐Ÿ™‡ Mwenye mume a.k.a mke ...


MAFUTA YA NYWELE MAZURI SANA

hairX volume Neoforce ni mafuta ya nywele kutoka oriflame
ni mafuta mazuri sana
faida yake
yanasaidia mtu mwenye mba
inazuia nywele kukatika
inaipa nywele yako mngao wa asili
yanarutubisha nywele sana matokea ndani yake mzuri sana haichukui mda sana matokeo unayaona

kwa maelezo zaidi au anayehitaji anicheki whatsap
0782 065401
mikoa yote tunatuma

Friday, August 4, 2017

GROUP LA FURSA

๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡?๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

⚜๐Ÿ”⚜๐Ÿต⚜๐Ÿง
                ๐Ÿ‘‡
Sasa ni mda wa kuamka na kutimiza ndoto za watanzania.

Kwa shilingi elf 2 ๐Ÿ˜ณ *(ndio elf 2,000)*

  Unaweza kujipatia zaidi ya million moja ndani ya kipindi kifupi tu.

NB;-Kiwango cha kimataifa cha crowd rising ni dolar 20$, ambayo ni sawa na elf 46 za kitanzania.
              ๐Ÿ‘‡
Ila kwasababu mfumo huu upo kwaajili ya kuwainua wanajamii  kiuchumi, Sisi kama timu ya Crowd tanzania tulipunguza kiwango cha kuchangia ili kuwa mwanachama kwanzia Tsh20,000 hadi sasa ni Tsh2,000.

Ili kumuwezesha mtanzania yoyote kujiunga na kuweza kukuza mitaji ya wajasiria Mali, kuinua kaya maskini na pia kupanua wigo wa kusaidia vituo vya watoto yatima na wazee pia.

Kwa kuamini kabisa kuwa kiwango cha shilling elf 2 hakiwezi kumshinda mtanzania wa sasa.

Yani ni sawa na kutoka kiwango cha dollar 20$ hadi dollar 1$.

*Crowd rising inakujali*

 *Unasuburi nini?*

 ๐Ÿ‘Mfumo huu unafungua milango na mwanzo mpya wa mafanikio yako.

 ๐ŸคJisajili katika mfumo uanze kukuza kipato na kupokea pesa kwa accounts zako mwenyewe yaweza kuwa *Mpesa, Tigo Pesa,AirtelMoney EasyPesa western union,Paypal Benki nk.*

CROWD RISINSING ni MFUMO Ulioanzishwa
 nchini CANADA mwaka 2016.

Waanzilishi
๐ŸŒŸ *Gerhard Rempel-canadian*
๐ŸŒŸ *Scott Johnson-Canadian*
 
๐Ÿ’ชLengo Kuu la huu mfumo ni kuisaidia dunia (jamii husika ya mahali husika iweze kujikwamua yenyewe kiuchumi kwa njia ya wanajamii wenyewe.

๐Ÿค‘Ili uweze kujiunga na Fursa hii ya *CROWD RISING* ni lazima ujiunge kwa  kumtumia moja kwa moja kwenye simu yake *(tigo pesa,  mpesa, airtel money,  ezy pesa, PayPal,  Bitcoin, Western Union, Bank za kawaida n.k*

๐Ÿ’ต Kiasi cha shilingi 2,000 / = Yule kushirikisha fursa hii ambaye ni Mwanachama wa *CROWD RISING* Ili akusajili. Fedha hiyo itakuwa ni yake moja kwa moja.

๐Ÿ‘‰Hivyo
๐Ÿ’ฐUnatoa 2,000/= kwa aliyekushirikisha Fursa hii yani(mama au Baba) ..katika mfumo.

๐Ÿต GRADE 1 ๐Ÿต

๐Ÿ’ฐKisha wewe unatakiwa (kushirikisha) watu 5....na kila mmoja atakupatia na wewe 2,000/= Tsh. Ili uwa sajili ( za Kwako hizo huwarudishii)

๐Ÿ’ฐ5× 2,000/= 10,000/=

๐Ÿต GRADE 2 ๐Ÿต

๐Ÿ’ฐKwenye hiyo 10,000 unatakiwa kumtuma 4,000 kwa mtu alomuunganisha alokuunganisha wewe kwa lugha rahisi ni kwamba una changia hiyo hela kwa Babu/Bibi yako. Ili aweze kukupandisha kwenye step inayofwata.

๐Ÿ’ฐSo, itakuwa
10,000-4,000/= Utabakiwa na Tsh 6,000/=

๐Ÿ’ฐ6,000-2,000/= (Mtaji ile uliyotoa kwanza )= 4,000/=

๐Ÿ’ฐ4,000/= ndo faida kutokana na watu wako wale watano.

๐Ÿ’ฐ2. Hao watano...kila mmoja ataunganisha watano kama ulivyofanya wewe...

๐Ÿ’ฐThen itakuwa watu wako wa 5 (watoto) Wakishirikisha wa 5 wao= 25 Watu (wajukuu)

๐Ÿ’ฐNa hao 25  Wakishirikisha watu 5 nao kila mmoja atapata  na 10,000 /=

๐Ÿ’ฐSasa basi kila mjukuu wako mmoja Atakuchangia Tsh 4,000/= toka kwenye 10,000 aliyo pata kwenye step-1 kama wewe ulivyomchangia bibi yako 4,000/= pale awali = SAWA??

๐Ÿ’ฐHivyo basi 4,000 X 25 wajukuu = Jumla ukapokea kiasi cha Tsh 100,000/=

  ๐Ÿต GRADE 3 ๐Ÿต

๐Ÿ’ฐKwenye laki yako Sasa hivi utamtumia wa juu yako zaidi 10,000/=
100,000 -10,000/=90,000
 (90,000 hiyo faida yako utakula wewe na familia yako)

๐Ÿ’ฐHela inazidi kuongezeka tuuuu...

๐Ÿ’ฐ3) Na hao 25 kila mmoja akiunganisha watano ndani ya timu yako utakuwa na vitukuu 125. Na wao pia watakuchangia 10,000/= kila mmoja

๐Ÿ’ฐTsh 10,000 X125 wajukuu unapata  1,250,000.

๐Ÿ’ฐili kupanda step utatoa 250,000/= Utamtumia wa juu yako.

Tambua,CROWD RISING Kuna Grade ya 1 hadi Grade 15. Kwenye hiyo grade ya 4 Tayari una Milioni 1566,250,000. Ukifika Grade ya 15 utakuwa na Mamilioni mangapi?
๐Ÿ’ฐHEBU TUACHE KUCHANGIANA VITU VINAVYOTAPANYA PESA, HARUSI,  KITCHEN PARTY, KIPAIMARA N.K

KUMBUKA
CROWD RISING haishiki fedha yoyote ya Mwanachama wake, KILA MWANACHAMA WA CROWD RISING ANASHIKA FEDHA ZAKE MWENYEWE KWENYE ACCOUNT YAKE MWENYEWE.

Jiunge group tujifunze kuhusu biashara
https://chat.whatsapp.com/Ix7vzjXJwGDA6AJaMDCOD5

JINSI YA KUTENGENEZA ICE CREAM/LAMBALAMBA NJOO WHATSAP 0782 065401

JINSI  YA  KUTENGENEZA   ICE CREAM/LAMBALAMBA NJOO WHATSAP 0782 065401